EUROPA LEAGUE Kukutajirisha Leo

Alhamis ya Europa league imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Manchester United ya Amorim watakiwasha dhidi ya Real Sociedad katika dimba la Old Trafford huku mechi ya kwanza kukutana, walitoshana nguvu hivyo mechi hii ya…

Read More

KAPOMBE: HAIKUWA KAZI RAHISI KUSHINDA

SHOMARI Kapombe beki wa Simba amesema kuwa walikutana na ushindani mkubwa kutoka kwa wapinzani wao TMA Stars katika mchezo wa hatua ya 32 bora CRDB Federation Cup uliochezwa Uwanja wa KMC Complex. Katika mchezo huo Machi 11 2025 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 3-0 TMA Stars kwa mabao ya Valentin Nouma dakika ya…

Read More

YANGA YATUPA DONGO KIMTINDO SIMBA

ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapinzani wao Coastal Union wanahitaji pongezi kwa kuwa sio jambo rahisi kupeleka timu kukabiliana na Yanga. Ujumbe huo ni kama dongo kimtindo kwa watani zao wa jadi Simba ambao Machi 8 2025 mchezo wao wa Kariakoo Dabi ulighairisha kutokana na kile ambacho Simba walieleza kuwa hawakupewa nafasi…

Read More