VIDEO: AZAM FC YAFUNGUKIA ISHU YA MPANZU/FEI TOTO/ SHOMARI KAPOMBE
BEKI wa kupanda na kushuka ndani ya kikosi cha Azam FC, Pascal amefungukia ishu ya nyota wa Simba Mpanzu, beto yake na Shomari Kapombe na hesabu nyingine ndani ya ligi.
BEKI wa kupanda na kushuka ndani ya kikosi cha Azam FC, Pascal amefungukia ishu ya nyota wa Simba Mpanzu, beto yake na Shomari Kapombe na hesabu nyingine ndani ya ligi.
Sakata la kuahirishwa kwa mchezo wa Derby ya Kariakoo limeingia sura mpya baada ya Kamati ya Utendaji wa Yanga Sc katika kikao chake cha Machi 9, 2025 kutoa msimamo wake kuhusu uamuzi huo wa Bodi ya Ligi kuahirisha mechi hiyo huku ikitoa pole kwa Wanachama, Mashabiki, Wapenzi na wadau wa mchezo wa mpira wa miguu…
Huenda umewahi kuona au kusikia stori nyingi kuhusu paka, Meridianbet kasino ya mtandaoni inakuletea mkutano na paka wa kuvutia wanaowapa wachezaji zawadi za kasino. Kazi yako ni kuwakusanya tu. Cat Purry ni sloti ya kasino mtandaoni inayotolewa na Games Global. Katika mchezo huu, utapata bonasi kadhaa. Kuna Bonasi ya Kishindo Kikubwa ambayo inakupa nafasi ya…