BEI YA VIINGILIO KARIKOO DABI
JOTO la Kariakoo Dabi linazidi kupasua anga ambapo mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Machi 8 2025 mchezao wa mzunguko wa pili. Ni mchezo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa wababe hawa wawili ambapo kila timu imetoka kupata ushindi kwenye mchezo wake uliopita. Yanga ambao watakuwa nyumbani walishuhudia ubao ukisoma Pamba Jiji 0-3 Yanga wakasepa na…