TABORA UNITED KUTUMIA CCM KIRUMBA

Timu ya Tabora United itatumia Uwanja wa CCM Kirumba uliopo jijini Mwanza kama Uwanja wa wake wa nyumbani katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya JKT Tanzania, utakaochezwa siku ya ljumaa Machi 07 saa 10:00 jioni. Tabora United FC itatumia Uwanja huo kutokana na kufungiwa kwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi ambao ulikuwa ukitumika kwa…

Read More

MZEE WA WAA ATUMA UJUMBE HUU

NYOTA Steven Mukwala mshambuliaji wa Simba amesema kuwa kazi kubwa ni kupambana kwenye mech izote kupata matokeo mazuri kutokana na ushirikiano ambao upo kwenye timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Kwenye msimamo wa ligi Simba ni namba mbili baada ya mechi 21 imekusanya jumla ya pointi 54 vinara wakiwa ni Yanga inayonolewa na…

Read More

NYONI: CHAMA AMEONGEZEKA SPIDI HUKO JANGWANI

ERASTO Nyoni kiraka anayetimiza majukumu yake ndani ya kikosi cha Namungo kinachonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda ameweka wazi kuwa nyota Clatous Chama amebadilika hasa kwenye upande wa spidi ila watu wanamtazama kwa mazoea. Ipo wazi kwamba Chama ni mchezaji wa kwanza kutambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga kwenye dirisha kubwa la usajili ilikuwa ni…

Read More