PACOME ATEMBEZA MKWARA HUKO

KIUNGO wa Yanga, Pacome amesema kuwa hesabu kubwa ni kupata pointi kwenye mechi ambazo wanacheza uwanjani wakiwa hawana muda wakupoteza kwa sasa. Katika mchezo dhidi ya Mashujaa uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika, mwisho wa reli Kigoma, baada ya dakika 90 ubao ulisoma Mashujaa 0-5 Yanga huku Pacome akichaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo na alitoa…

Read More

BEKI HUYU ATAJWA KUWA KWENYE RADA ZA YANGA

BEKI wa kazi  Wilson Nangu miongoni mwa wachezaji ambao wanavuja jasho ndani ya JKT Tanzania ambayo ipo ndani ya 10 bora anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Kariakoo ambao ni Simba na Yanga wote wakiwa katika hesabu za kuinasa saini yake. Ipo wazi kuwa katika eneo ambalo JKT Tanzania haijawa imara sana ni eneo…

Read More