ABDUTWALIB MSHERY, KIPA WA YANGA, AMEFUNGA NDOA
Abdutwalib Mshery, kipa wa Young Africans SC, amefunga ndoa rasmi.
Abdutwalib Mshery, kipa wa Young Africans SC, amefunga ndoa rasmi.
Jumanne ndio hiyo imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Tukianza na EPL kule Uingereza leo, vijana wa Marco Silva Fulham, watasafiri kupepetana dhidi ya Wolves ambao walishinda mechi yao iliyopita, huku mwenyeji yeye akicheza kichapo…
BAADA ya Februari 24 2025 ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 2-2 Azam FC mabosi hao wakigawana pointi mojamoja na matajiri wa Dar, Azam FC, Simba wametoa tamko lao kuhusu aina ya matokeo hayo. Kupitia kwenye ukurasa wa Instagram wa Ahmed Ally ambaye ni Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameandika namna…
KIUNGO wa Yanga, Pacome amesema kuwa hesabu kubwa ni kupata pointi kwenye mechi ambazo wanacheza uwanjani wakiwa hawana muda wakupoteza kwa sasa. Katika mchezo dhidi ya Mashujaa uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika, mwisho wa reli Kigoma, baada ya dakika 90 ubao ulisoma Mashujaa 0-5 Yanga huku Pacome akichaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo na alitoa…
REKODI ya kipa namba moja wa Simba, Mousa Camara kuvuna hati safi mbele ya Azam FC kwa mara nyingine tena mzunguko wa pili, Februari 24 2025 iligonga mwamba kwa kushuhudia akitunguliwa mabao mawili ndani ya dakika 90. Mapema Camara alitunguliwa dakika ya kwanza na nyota wa Azam FC, Gibrill Sillah na bao hilo liliwekwa usawa…
BEKI wa kazi Wilson Nangu miongoni mwa wachezaji ambao wanavuja jasho ndani ya JKT Tanzania ambayo ipo ndani ya 10 bora anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Kariakoo ambao ni Simba na Yanga wote wakiwa katika hesabu za kuinasa saini yake. Ipo wazi kuwa katika eneo ambalo JKT Tanzania haijawa imara sana ni eneo…
Mchezo pendwa wa kasino wa Aviator unaendelea kuhakikisha wadau na wapenzi wa michezo ya wanapiga mamilioni ya kutosha, Kwani hivi karibuni imefanikiwa kutoa mshindi mpya ambaye amejishindia kiasi cha milioni 44. Mteja huyo anayefahamika kwa utambulisho wa HN amefanikiwa kushinda kiasi hicho cha pesa kwa kutumia dau dogo tu, Kwani bwana HN aliweka kiasi cha…