
AMEONYESHA BALAA LAKE KWA VITENDO MWAMBA CAMARA
AMEONYESHA balaa lake mwamba Camara ndani ya Simba kuanza Mzizima Dabi/ Kariakoo Dabi ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids.
AMEONYESHA balaa lake mwamba Camara ndani ya Simba kuanza Mzizima Dabi/ Kariakoo Dabi ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids.
LIGI namba nne kwa ubora inaendelea kuchanja mbunga ambapo l Februari 22 kunatarajiwa kuchezwa mechi mbili kali za kukata na shoka kwa wababe kuwa ndani ya uwanja. Issa Liponda maarufu kama Mbuzi ambaye ni Ofisa Habari wa Fountain Gate ameweka wazi kuwa wapo tayari kusepa na pointi tatu muhimu ugenini kutokana na maandalizi ambayo wamefanya….
KUELEKEA Mzizima Dabi mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa wababe hawa wawili kuna mkali wa mabao ya mbali yupo ndani ya kikosi cha Azam FC huenda akawapa tabu wapinzani wao wakikutana ndani ya dakika 90 za kuvuja jasho. Ni Yoro Diaby nyota wa Azam FC anashikilia rekodi yakuwa nyota aliyefunga bao kwa umbali mrefu…