PIGA MKWANJA KUPITIA UEFA CHAMPIONS LEAGUE NA EPL LEO

Ligi ya mabingwa barani ulaya kama kawaida imekua ni michezo ya neema kwa wapenzi wa ubashiri, Kwani watu wamekua wakinyakua mikwanja ya kutosha kupitia michezo hii lakini utapigwa mchezo mmoja mkali wa ligi kuu ya Uingereza leo. Michezo ambayo inakwenda kuchezwa leo ina asilimia kubwa kukuacha milionea kwani michezo ya ligi ya mabingwa barani ulaya…

Read More

SIMBA KWENYE KIBARUA MBELE YA NAMUNGO

CHINI ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids kikosi cha Simba leo kinatarajiwa kuwa kwenye kibarua kizito mbele ya Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa. Ni mchezo wa mzunguko wa pili kwa wababe hawa kukutana uwanjani katika msako wa pointi tatu ambapo ule wa kwanza uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex…

Read More