
MGHANA HUYU KUIBUKIA YANGA MAPEMA
INATAJWA kuwa mabosi wa Yanga wapo kwenye hesabu za mwisho kumalizana na nyota wa Ghana aliyemtungua Diarra kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex.
INATAJWA kuwa mabosi wa Yanga wapo kwenye hesabu za mwisho kumalizana na nyota wa Ghana aliyemtungua Diarra kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex.
CHINI ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids kikosi cha Simba leo kinatarajiwa kuwa kwenye kibarua kizito mbele ya Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa. Ni mchezo wa mzunguko wa pili kwa wababe hawa kukutana uwanjani katika msako wa pointi tatu ambapo ule wa kwanza uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex…