CHAMA KWENYE MTIHANI YANGA, KAZI IPO

CLATOUS Chama ndani ya kikosi cha Yanga yupo kwenye mtihani wa kupambania namba kikosi cha kwanza kwa kuwa kwa sasa hajawa  chaguo la kwanza msimu wa 2024/25 baada ya kuibuka hapo akitokea kikosi cha Simba. Ipo wazi kwamba alipokuwa ndani ya kikosi cha Simba Chama alikuwa ni chaguo la kwanza kwenye eneo la kiungo tofauti…

Read More