BUNGE LATAKA UKARABATI WA UWANJA WA MKAPA UKAMILIKE APRILI 2025

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeazimia mambo manne kuhusu Uwanja wa Benjamin Mkapa ikiwamo kuhakikisha ukarabati wake unakamilika ifikapo Aprili, 2025. Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Husna Sekiboko ameyasema hayo leo bungeni alipokuwa akiwasilisha taarifa ya mwaka ya utekelezaji wa majukumu ya kamati hiyo. Sekiboko amesema serikali iandae mkakati wa kuanzisha chombo maalum cha…

Read More

BENCHIKA KUTIMKIA MODERN FUTURE YA MISRI

Baada ya kuondoka JS Kabylie Januari iliyopita, kocha wa Algeria Abdelhak Benchikha yuko mbioni kutia saini ya kuifundisha klabu ya Modern Future ya Misri inayoshiriki ligi kuu nchini humo. Benchikha, ambaye tayari amekuwa na uzoefu kadhaa nje ya nchi, hasa Tanzania,Morocco na Qatar, anaweza kujikuta akiwa Kocha Mkuu wa klabu hiyo. Modern Future FC ni…

Read More