ALIYEWASUMBUA YANGA NA KUSEPA NA TUZO AFUNGUKA

MCHEZAJI bora wa mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Isahmuyo, Wilson Nangu amesema kuwa amefurahi kupata tuzo hiyo akiwashukuru mashabiki pamoja na wachezaji kwa kufanya kazi kwa ushirikiano mkubwa. Ikumbukwe kwamba baada ya dakika 90 ubao ulisoma JKT Tanzania 0-0 Yanga hivyo wababe hao waligawana pointi mojamoja ndani ya dakika 90, kipindi cha…

Read More

PLAYSON SHORT RACES KUPITIA MERIDIANBET WAJA NA PROMOSHENI YA KIBABE

Hii haijawahi kutokea kupitia Playson Short races ambao wanashirikiana na mabingwa wa michezo ya kubashiri Meridianbet wamekujia na promosheni ya kibabe kabisa, Kwani Shilingi Biliani tatu kushindaniwa kila siku. Playson Short races kama wasambazaji wa michezo mbalimbali kupitia michezo yao ndio unaweza kua sehemu ya washindi watakaoshindania kiasi cha  3,000,000,000 kila siku, Hivo wachezaji wa…

Read More