
SAKATA LA KOCHA MPYA YANGA HUYU HAPA ATASHINDA VITA HIYO
SAKATA la kocha mpya Yanga ambaye mabosi wa Singida Black Stars wamebainisha kuwa ameibiwa kwao kwa kutambulishwa bila taarifa huyu hapa huenda atashinda vita hiyo.
SAKATA la kocha mpya Yanga ambaye mabosi wa Singida Black Stars wamebainisha kuwa ameibiwa kwao kwa kutambulishwa bila taarifa huyu hapa huenda atashinda vita hiyo.
CLEMENT Mzize ni mshambuliaji namba moja ndani ya kikosi cha Yanga katika eneo la utupiaji akiwa amefunga jumla ya mabao 9 kati ya 42 yaliyofungwa na timu hiyo. Mzize anaongoza chati ya watupiaji kwa idadi hiyo akifuatiwa na Elvis Rupia wa Singida Black Stars mwenye mabao 8 kama Ateba wa Simba. Katika mabao 9 Mzize…
ENEO la ushambuliaji litawaangusha Simba kwenye mbio za kuwania ubingwa ikiwa wachezaji watashindwa kuwa makini hasa katika umaliziaji wa nafasi na kutengeneza nafasi. Katika michezo ambayo ameanza Mpanzu ameonekana kuwa na shauku kubwa yakutaka kufunga zaidi ya kutengeneza nafasi za mabao jambo linalowapa ugumu Simba kufunga ndani ya uwanja. Nafasi ambazo wanazipata ndani ya 18…