SIMBA YABANWA BABATI DHIDI YA FOUNTAIN GATE, SARE YA 1-1

SIMBA leo Februari 6,2025 wamebanwa katika dimba la Tanzanite Kwaraa, Babati kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya wenyeji Fountain Gate Fc waliomaliza wakiwa pungufu ya mchezaji mmoja baada ya golikipa John Noble kuoneshwa kadi nyekundu kwa kupoteza muda.

FT: Fountain Gate Fc 1-1 Simba Sc
⚽ 75’ Chasambi (og)
⚽ 57’ Ateba