VIDEO: AHOUA HATAKOSA PENATI, MJANJA

WAKALI wa kucheka na nyavu kwenye upande wa Simba wakiwa na majukumu ya mapigo ya penati ndani ya kikosi cha Simba ikiwa ni Leonel Ateba na Jean Ahoua wamepewa asilimia kubwa yakuwa kwenye mwendelezo mzuri wa kupata penalti. Shabiki wa Simba, Banda Jr ameweka wazi kuwa Ahoua ni mjanja na hatakosa penati ndani ya kikosi…

Read More

KOCHA YANGA NA SAFARI YAKE YA MWISHO

KOCHA bora Desemba mechi yake ya mwisho ilikuwa dhidi ya Kagera Sugar mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex.Katika mchezo huo baada ya dakika 90 ubao ulisoma Yanga 4-0 Kagera Sugar wakakomba pointi tatu muhimu na kukaa namba moja kwenye msimamo kwa saa 24. Ni Sead Ramovic hatakuwa ndani ya kikosi cha Yanga baada ya kufunga…

Read More

ATEBA NA KAPOMBE PACHA INAYOTESA SIMBA

KUNA pacha zinazotesa ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids miongoni mwa hizo ni ile ya Leonel Ateba na Shomari Kapombe kutokana na kujibu kwenye mechi za kitaifa na kimataifa. Simba ni namba moja kwenye msimamo ikiwa na pointi 43 mchezo wao ujao wa ligi ni dhidi ya Fountain Gate unaotarajiwa…

Read More