JONATHAN IKANGALOMBO KUWAKOSA KEN GOLD KESHO

Kuelekea mchezo wa Ligi Kuu bara kati ya wenyeji Yanga Sc dhidi ya Ken Gold Fc utakaopigwa kesho Februari 05, 2025 katika dimba la KMC Complex, kocha wa Yanga, Sead Ramovic amesema winga Mkongomani, Jonathan Ikangalombo Kapela aliyesajiliwa dirisha dogo kwa sasa hawezi kutumika kwa sababu hana utimamu mzuri wa mwili. “Jonathan ni mchezaji mzuri…

Read More

MERIDIANBET WAILETA EARLY PAYOUT

Wakongwe na waandamizi wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wamekuletea chaguo jipya linalofamika kama Early payout ambalo litakwenda kuwapatia mkwanja kwa wepesi wale wanaobashiri mpira wa miguu. Meridianbet wamekuja na kitu iinaitwa early payout hii ikiwa na maana mshindi atahesabiwa pale tu timu ambayo ameiwekea ubashiri kuongoza kwa tofauti ya mabao mawili, Kwa mfano…

Read More