MSEMAJI WA AZAM AFUNGUKA BAADA YA KUTUPWA NJE KLABU BINGWA
“Tumewaangusha Mashabiki wetu, Tumewaangusha Watanzania wote tumekuwa Aibu kwenye Taifa la watu mbele ya Team ambayo tunaiweza mbele ya Team ambayo tungeweza pata ushindi nyumbani na ugenini” . “Hatujacheza vizuri hata kidogo mechi zote mbili kuna wakati lazima ukweli mchungu useme tumefedheheka mno. Timu yetu sio mbaya ina ubora wa hali ya juu lakini tumeondoshwa…