BEKI JOASH ONYANGO APEWE ULINZI

MZUNGUKO wa dunia unavyozidi kwenda na matukio yanaongezeka na kwenye ulimwengu wa mpira kila wakati kumekuwa kuna mabadiliko ambayo yanatokea. Ndani ya kikosi cha Simba kuna beki wa kazi Joash Onyango ambaye amekuwa akionekana kwenye uvurugaji mara nyingi jambo linalowavuruga mashabiki pamoja na viongozi kwamba asepe ama abaki. Licha ya yote hayo beki huyo anahitaji…

Read More

CHEKI VIGONGO VYA KAZI ZA MATOLA SIMBA

SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Klabu ya Simba ana vigongo vitano ndani ya Juni kuweza kuiongoza timu hiyo kukamilisha mzunguko wa pili. Mabingwa hao watetezi hawana uhakika wa kuweza kutetea taji hilo kutokana na kuachwa kwa pointi 13 na watani zao wa jadi Yanga walio nafasi ya kwanza na pointi 64. Ni mechi za kazi…

Read More