FEI TOTO, MORRISON NA AZIZ KI WAPEWA KAZI KIMATAIFA

VIUNGO wa Yanga ikiwa ni pamoja na Aziz KI, Feisal Salum, Bernard Morrison, Khalid Aucho wamepewa kazi maalumu kuelekea kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa nchini Sudan, Jumapili, Oktoba 16,2022 saa 2:00 usiku baada ya ule uliochezwa Uwanja wa Mkapa,ubao usoma Yanga 1-1 Al Hilal. Nasreddine…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA HII HAPA

BAADA ya Oktoba 2 2024 nyuki wa Tabora, Tabora United kupoteza mchezo wao wa ligi dhidi ya wakulima wa zabibu Dodoma Jiji kuna dakika 90 nyingine za kazi leo Oktoba 3 2024. Ikumbukwe kwamba baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma ulisoma Dodoma Jiji 2-0 Tabora United na mabao yalifungwa na Paul…

Read More

AZAM FC YAIPIGA MKONO DODOMA JIJI

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wamekomba pointi tatu mazima kwa kupata ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Mei 13 2025, Azam Complex. Lusajo Mwaikenda alifungua ukurasa dakika ya 6, Abdul Sopu bao la pili dakika ya 17, Gibril Sillah bao la tatu dakika ya 20, Nasor…

Read More

YANGA YAANZA KWA KUPOTEZA UGENINI

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa Yanga kete yao ya kwanza hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika wameanza kwa kupoteza mchezo huo. Ni usiku wa kuamkia leo Novemba 25 Yanga ilitupa kete yake ya kwanza ugenini kusaka pointi tatu dhidi ya CR Belouizdad ya Algeria. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ilikuwa…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA TANZANIA PRISONS

MACHI 6 2024 kikosi cha Simba kina kazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Tanzania Prisons mchezo utakaochezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Aishi Manula, Shomari Kapombe, Israel Kwenda, Henock Inonga, Kennedy Musonda, Babacar Sarr, Mzamiru Yassin, Fabrice Ngoma, Freddy Michael, Clatous Çhama na Kibu Dennis. Benchi ni Ayoub Lakred, Zimbwe, Duchu, Kazi, Hamish, Ntibanzokiza, Chasambi,…

Read More

SIMBA YAKWEA PIPA, BANDA,NTIBANZOKIZA NDANI

NYOTA wa Simba Peter Banda tayari amerejea kwenye ubora wake akiwa ni miongoni mwa mastaa waliokwea pipa kuelekea Dubai. Kikosi hicho kimepata mualiko maalumu kutoka kwa Rais wa Heshima Mohamed Dewji ambapo kitaweka kambi kwa muda wa siku 7. Wengine ambao wapo kwenye kikosi hicho ni pamoja na Said Ntibanzokiza, Sadio Kanoute huku Moses Phiri…

Read More

YANGA YAIPIGIA HESABU HIZI AZAM FC

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga hesabu kubwa kwa sasa ni kuelekea mchezo wao wa ligi dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Oktoba 23, Uwanja wa Azam Complex. Chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi timu hiyo ilitoka kukomba pointi tatu dhidi ya Geita Gold kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa CCM Kirumba ukisoma Geita…

Read More

SIMBA KWENYE REKODI YAKIMBIZA BONGO

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi kimepeta kwenye rekodi ndani ya 2024/25 kutokana na kufanya vizuri kwa wachezaji baada ya mechi 10. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa hayo yote yanatokana na uwekezaji ambao umefanywa kwa kuchukua wachezaji wenye ubora mkubwa. “Tuna wachezaji wenye namba…

Read More

YANGA MABINGWA WA KOMBE LA MUUNGANO

ZANZIBAR-Young Africans Sports Club (Yanga SC) ya jijini Dar es Salaam imetwaa taji la saba la Michuano ya Kombe la Muungano. Ni baada ya Mei 1, 2025 katika dimba la Gombani lililopo Kisiwani Pemba kuwachapa Maafande wa Jeshi la Kujenga Uchumi Zanzibar (JKU) kwa bao 1-0. Bao pekee la Maxi Mpia Nzengeli lilipatikana dakika ya…

Read More

YANGA KAZI KAZI KUWAKABILI WAARABU

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa mpango kazi mkubwa kwenye mechi yao dhidi ya Waarabu wa Algeria, CR Belouizdad. Timu hiyo inakibarua cha kuanza kusaka ushindi kwenye mchezo wa hatua ya makundi Novemba 24 kisha wakimaliza kazi hiyo watarejea Dar kumenyana na Al Ahly Desemba 2.  Gamondi amesema kuwa kila mchezo ni…

Read More

YANGA YATUPA DONGO KIMTINDO SIMBA

ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapinzani wao Coastal Union wanahitaji pongezi kwa kuwa sio jambo rahisi kupeleka timu kukabiliana na Yanga. Ujumbe huo ni kama dongo kimtindo kwa watani zao wa jadi Simba ambao Machi 8 2025 mchezo wao wa Kariakoo Dabi ulighairisha kutokana na kile ambacho Simba walieleza kuwa hawakupewa nafasi…

Read More

YANGA YAWASHUKURU MASHABIKI KWA JAMBO HILI

WALTER Harson, Meneja wa Yanga amesema kuwa mchezo wao dhidi ya Singida Black Stars ulikuwa wenye ushindani mkubwa kutokana na mvua kubwa mchezo huo ulishindwa kumalizika huku wakiwashukuru mashabiki kwa kujitokeza kwa wingi kuwashangilia. Ni Machi 24 Singida Black Stars waliwakaribisha Yanga katika mchezo wa kirafiki ambapo ulikuwa maalumu kwa ajili ya uzinduzi wa Uwanja…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SINGIDA BLACK STARS VS SIMBA

HIKI hapa kikosi cha Singida Black Stars dhidi ya Simba SC nusu fainali CRDB Federation Cup:-  Amos Obasogie  Ande Cyrille Gadiel Michael  Frank Assinki  Kennedy Juma  Mohamed Damaro  Edmund John  Morice Chukwu  Jonathan Sowah  Arthur Bada  Emmanuel Keyekeh Akiba Metacha Mnata Imoro Pokou Tchakei Trabi Adebayo Rupia Athuman Makoye Nashon Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi…

Read More

SIMBA: TUMEUMIZWA VIBAYA MNO

UONGOZI wa Simba umebainisha kwamba umeumizwa vibaya kukwama kupata matokeo kwenye mchezo dhidi ya Mashujaa uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika. Ilikuwa ni kwenye CRDB Federation raundi ya nne ambapo baada ya dakika 90 ubao ulisoma Mashujaa 1-1 Simba na kwenye penalti ilikuwa Mashujaa 6-5 Simba. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba…

Read More