KIM POULSEN:HAITAKUWA KAZI RAHISI MBELE YA DR CONGO

KIM Poulsen, Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa mchezo wa kesho dhidi ya DR Congo haitakuwa kazi rahisi kwa wachezaji lakini ni muhimu kupambana ili kupata matokeo chanya. Kesho, Stars ina kibarua kikubwa cha kusaka ushindi mbele ya DR Congo kwenye mchezo wa kuwania Kufuzu Kombe la Dunia wakiwa…

Read More

AZIZ KI: SINA MATARAJIO YA KUONDOKA YANGA KWA SASA

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI baada ya timu yake kutolewa kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Mamelodi Sundowns kwa mikwaju ya penalti hatua ya robo fainali, ameandika katika ukurasa wake wa Instagram ujumbe wa kuwashukuru mashabiki kwa kuwa nao pamoja kwenye safari ya michuano hiyo msimu huu 2023/2024. KI ameandika; “Tumeonyesha…

Read More

CHEZA WIN&GO BILA HOFU, PATA 10% YA DAU LAKO

Huu ni mwezi wa kujikusanyia pesa tu, yaani ukiwa na Meridianbet basi jua umechagua kushinda kila siku kwani wanakutafutia kila namna ya kuhakikisha unanufaika kwa kuwa mwanafamilia wa kampuni hii namba moja ya ubashiri nchini. Na sasa wamekuja na mpya kabisa, Cheza Win&Go bila hofu yeyote ya kupoteza na endapo itatokea umepoteza tiketi yako unapatiwa…

Read More

MKUDE NDANI YA BUKOBA KAZI IPO

 LEGEND Jonas Mkude ni miongoni mwa nyota wa kikosi cha Simba ambao wapo kwenye msafara uliowea kambi Bukoba. Kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda kina kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Kaitaba. Ikumbukwe kwamba Simba msimu wa 2021/22 ilinyooshwa bao 1-0 na Kagera Sugar katika mchezo uliochezwa…

Read More

TWIGA STARS YATUSUA WAFCON UGENINI

BAKARI Shime, Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya wanawake Twiga Stars ambayo  imefuzu kucheza mashindano ya WAFCON 2024 yatakayofanyika nchini Morocco.amesema kuwa jitihada za kupata ushindi zilishindikana lakini wachezaji walijituma. Twiga imefuzu baada ya ushindi wa jumla wa mabao 3-2 dhidi ya Togo ambapo kila mmoja kashinda kwenye mechi aliyokuwa nyumbani. Ikumbukwe kwamba Twiga…

Read More

SIMBA YAOMBA RADHI KWA MATOKEO MABOVU

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kwa kilichotokea Februari 18, haikuwa malengo yao hivyo wanaomba radhi kwa mashabiki na Watanzania kiujumla. Timu hiyo inayowakilisha Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 0 -3 Raja Casablanca mbele ya mashabiki wao wakutosha. Meneja wa Idara ya…

Read More

SIMBA KUSHUSHA MKATA UMEME WA KAZI

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa kwenye mpango wa usajili utaongeza mkata umeme wa kazi mithili ya Fabrince Ngoma ili kuongeza uimara kwenye timu hiyo. Ipo wazi kwamba Simba kwa msimu wa 2023/24 haijawa bora kwenye eneo la ulinzi na ushambuliaji huku eneo la ukabaji ikiwa na wachezaji wa kazi kama Fabrince Ngoma, Sadio Kanoute na…

Read More

SIMBA WANA ZALI NA MKWAKWANI

KATIKA mechi mbili za hivi karibuni ambazo Simba ilicheza Uwanja wa Mkwakwani, Tanga haijapoteza. Simba imekuwa na zali ndani ya dakika 90 kutopoteza kwenye mechi za ushindani ambazo walicheza na leo wana kazi ya kufanya dhidi ya Yanga. Ni Kariakoo Dabi ndani ya Tanga inatarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku ambapo Yanga na Simba zote zimeweka…

Read More

WEKA KANDO KUSHINDWA KUSHINDA NYUMBANI,KIMATAIFA KAZI

 WEKA kando suala la kukosa matokeo kwenye mechi za kimataifa bado kwa wawakilishi wa kimataifa kwenye mechi za kimataifa kazi inaendelea kwa kuwa muhimu kupata matokeo. Tunaona mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa ilikuwa ngumu kwa wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Yanga kupata matokeo mazuri na sasa wana kazi nyingine ugenini. Utani…

Read More

EUROPA NA CONFERENCE KUTOA MKWANJA LEO

Leo hii una nafasi ya kupiga mkwanja wa maana ukibashiri mechi zako na meridianbet. Machaguo zaidi ya 1000 na ODDS KUBWA zipo hapa. Unasubiri nini ingia sasa kwenye akaunti yako na usuke jamvi hapa. Atalanta chini ya Gasperini dhidi ya Olympique Marseille ambapo mechi ya kwanza walitoshana nguvu hivyo leo ni kama wanaanza upya. Atalanta…

Read More

SITA WACHAGULIWA KAMATI YA MASHINDANO YANGA

 RAIS wa Klabu ya Yanga, Injinia Hersi Said ameteua Wajumbe wa Kamati ya Mashindano Yanga Injinia ameweza kuteua kamati hiyo kwa kushirikiana na Kamati ya Utendaji ili kuweza kuunda kamati hiyo maalumu.  Ni wajumbe 6 wametangazwa leo Agosti 10.2022 kuweza kuwa katika kamati hiyo kutimiza majukumu yao. Ni pamoja na Mustapha Himba,Lucas Mashauri,Seif Ahmed,(Magari),Pelegrius Rutayunga,Davis…

Read More