NJOMBE MJI WAANZA NA KICHAPO 8 BORA

WIDDEN Daphet, Kocha wa Njombe Mji amesema kuwa walishindwa kutumia nafasi ambazo walizipata jana katika mchezo wa hatua ya 8 bora. Huo ulikuwa ni mchezo wa kwanza wa kundi A katika fainali za First League huko Mwanza. Daphet amesema:”Tulishindwa kupata ushindi kwa kuwa hatukutumia nafasi ambazo tulizipata kwenye mchezo wetu. “Lakini bado tuna nafasi katika…

Read More

SLOTI YA VENI VIDI VICI INAKUPA USHINDI MARA 1000

Sub-Heading: Aprili ya Kishua unaambiwaje jisajili Meridianbet upate mizunguko 50 ya bure kucheza sloti ya kasino ya mtandaoni. Kujisajili bonyeza hapa: https://a.meridianbet.co.tz/c/srILsF Furahia sloti mpya kutoka Kasino ya Mtandaoni ikielezea Roma ya Kale! Cheza kipekee katika sloti ya Meridianbet Veni Vidi Vici! Ikiwa unafurahia michezo inayoelezea mambo ya kale, Meridianbet kasino ya mtandaoni wana zawadi…

Read More

CHAMA AKUBALI KUREJEA SIMBA

ALIYEKUWA kiungo wa Simba, Mzambia, Clatous Chama, amebainisha kwamba, yupo tayari kurudi katika kikosi hicho endapo atatakiwa kufanya hivyo.Chama aliyecheza Simba kwa misimu mitatu kuanzia 2018 hadi 2021, msimu huu amejiunga na RS Berkane ya Morocco.   Akiwa Simba, kiungo huyo alipata mafanikio makubwa ikiwemo kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2019/20 na kiungo bora 2020/21. Simba msimu huu imeanza kwa kasi ya kawaida huku kati ya upungufu ambao umekuwa ukibainishwa ni kukosekana kwa Chama na Luis Miquissone ambao waliondoka mwishoni mwa msimu uliopita.   Akizungumzia uwezekano wa kurudi Simba, Chama…

Read More

DUBE APELEKA MAUMIVU IHEFU

 MGUU uleule uliowapa tabu Simba, Uwanja wa Mkapa ndani ya 18 umegeuza kibao kwa mara nyingine mbele ya Ihefu. Mtupiaji yuleyule aliyempa tabu Air Manula sasa tabu iligeukia upande wa Ihefu kwa kipa Fikirini. Kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara jana dhidi ya Ihefu, nyota Dube alifunga bao kwa mguu wake wa kulia likiwa ni…

Read More

AZAM FC KUSAJILI MASHINE TATU ZA KAZI

WAKATI vijana wa Azam FC wakiendelea na mazoezi kwa ajili ya mechi za Ligi Kuu Bara msimu wa 2021/22, imeelezwa kuwa mabosi wa timu hiyo wapo kwenye mpango wa kusajili nyota watatu wa kazi kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho. Mpango kazi unatajwa kuchorwa kwa kuwafuata nyota kutoka Rwanda kwa lengo la kuboresha kikosi hicho ambacho…

Read More

AZIZ KI AMTUNGUA KIMWERI

UBAO wa Uwanja wa Manungu unasoma Mtibwa Sugar 0-1 Yanga. Bao la Aziz KI dakika ya 26 linaipa uongozi timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Pigo la faulo iliyoonekana kutokuwa na hatari ilimduwaza kipa wa Mtibwa Sugar Razack Kimweri ambaye alikutana na mpira nyavuni. Ukuta wake wa wachezaji watatu ambao aliwapanga pamoja na…

Read More

BEKI HUYU ATAJWA KWENYE RADA ZA SIMBA

BEKI wa kazi  Wilson Nangu miongoni mwa wachezaji ambao wanavuja jasho ndani ya JKT Tanzania ambayo ipo ndani ya 10 bora anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Kariakoo ambao ni Simba. Chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids kikosi cha Simba kimeruhusu mabao sita yakufungwa na katika hayo mawili wachezaji wa timu hiyo walijifunga, Ladack…

Read More

MBEYA CITY WAPINDUA MEZA KIBABE

LICHA ya kupata bao la kuongoza mapema kupitia kwa mzawa Nickosn Kibabage ilikuwa ngumu kwa Mtiwa Sugar kusepa na pointi tatu za Mbeya City. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Manungu Oktoba 2,2022 na bao ulisoma Mtibwa Sugar 2-2 Mbeya City. Kwa matokeo hayo Mbeya City ni wamepindua meza kibabe. Bao la mapema kwa Mtibwa Sugar…

Read More

KOCHA YANGA AMEWAKIMBIZA VIGOGO HUKO

AMEWAVURUGA vigogo waliopo ndani ya tatu bora Kocha Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic huku timu hiyo ikiandika rekodi ya kuwa timu ya kwanza ambayo ilipata ushindi mkubwa bila kuruhusu kufungwa na ni mabao 16 Yanga ilifunga kwenye mechi nne na ilifungwa mabao mawili dhidi ya Mashujaa.

Read More

Anza Wiki Yako na Meridianbet Sasa

Siku ya kuwa tajiri imefika chukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. England baada ya kushinda mechi yao iliyopita, leo hii watakuwa nyumbani kukiwasha dhidi ya Latvia. Vijana wa Thomas Tuchel wanahitaji kuendeleza ushindi katika dimba la Wembley…

Read More

AZAM FC KASI YAO INAZIDI

MIAMBA Azam FC wamezidi kujiongezea ngome nafasi ya pili baada ya kukomba pointi tatu mazima dhidi ya Singida Fountain Gate. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba ubao ulisoma Singida Fountain Gate 0-1 Azam FC bao lilifungwa na Kipre Junior dakika ya 53. Azam FC inafikisha pointi 40 baada ya kucheza mechi 18 vinara ni…

Read More

YANGA KUMALIZANA NA MSHAMBULIAJI HUYU

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa kuna wachezaji ambao watatambulishwa ndani ya kikosi hicho wakiwa na uwezo mkubwa jambo litakaloongeza nguvu kuelekea msimu wa 2024/25. Yanga inanolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi msimu wa 2023/24 safu ya ushambuliaji ilifunga jumla ya mabao 71 na kinara alikuwa ni Aziz Ki aliyefunga mabao 21. Kwa upande wa maingizo…

Read More

Jumamosi Hii Ni Kupiga Mkwanja Tu Na MeridianBet

Jumamosi hii Meridianbet inataka kuhakikisha unapiga mkwanja wa kutosha kupitia michezo mbalimbali ambayo itakwenda kuchezwa leo katika ligi tofauti tofauti barani ulaya na hata hapa Tanzania. Kwanini Meridianbet wanasema watakikisha unapiga mkwanja wewe mteja wao kwakua wao wamemaliza jukumu lao kilichobaki ushindwe wewe tu, Kwani wameweka ODDS KUBWA katika michezo inayokwenda kupigwa Jumamosi ya leo…

Read More