
HUU HAPA WASIFU WA MGOMBEA NAFASI YA MAKAMU WA RAIS JANGWANI
JULAI 9,2022 wanachama wa Yanga kupitia wawakilishi wao ambao ni viongozi kutoka kwenye matawi wanatarajia kufanya uchaguzi kwa ajili ya kumpata Rais,Makamu wa Rais pamoja na Wajumbe watano. Huu hapa ni wasifu wa mgombea nafasi ya Makamu wa Rais ambapo ni Suma Mwaitenda WASIFU: (Taaluma na Kazi) -Mkadiriaji Majenzi (Quantity Surveyor) -Msimamizi wa Miradi (Project…