
MBWANA MAKATA APUNGUZIWA ADHABU YA KIFUNGO
MBWANA Makata aliyekuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Mbeya Kwanza na meneja wa timu hiyo David Naftari wamepunguziwa ashabu yao ya kutojihusisha na soka kwa kipindi cha miaka mitano. Taarifa ambayo imetolewa leo Julai 9,2022 imeweza kueleza kuhusu suala hilo la viongozi hao kupunguziwa adhabu. Awali ilibidi watumikie adhabu ya kutojihusisha na soka kwa muda…