
STAA WA CITY HAALAND AITWA UNITED
HIVI karibuni, staa wa Manchester City, Erling Haaland akiwa anakatiza mitaa ya Jiji la Manchester, shabiki mmoja wa Manchester United alisikika akimwambia ‘njoo United msimu ujao’. Shabiki huyo alikuwa akimfuata Haaland huku akimpigia kelele za kumtaka ahamie United. Ikumbukwe kwamba nyota huyo aliwahi kutajwa kuingia kwenye hesabu za United wakati anatoka RB Salzburg akasajiliwa na…