SHABIKI WA SIMBA ASHINDA MILIONI 49 NA10 BET

SHABIKI wa Klabu ya Simba na timu ya Manchester United, Derick Mustafa, ameshinda Sh 49.8 milioni baada ya kubashiriki kwa kwa usahihi mechi 14 za ligi mbalimbali za soka duniani kupitia ‘mkeka’ wa kampuni ya 10 Bet. Mustafa ambaye ni mkazi wa Kigamboni jijini Dar es Salaam amesema kuwa haikuwa kazi rahisi kushinda kiasi kikubwa…

Read More

KANE AKUBALI KASI YA HAALAND

 MSHAMBULIAJI wa Tottenham, Harry Kane raia wa England ameweka wazi kuwa kasi ambayo ameanza nayo mshambuliaji mpya ndani ya Manchester City, Erling Haaland ni nzuri ila naye ataongeza juhudi kutimiza majukumu yake. Haaland raia wa Norway amekuwa chachu ya matokeo mazuri uwanjani ametupia jumla ya mabao 14 kwenye mechi za mashindano yote. Ni namba moja…

Read More

KOCHA MOSIMANE APATA DILI SAUDI ARABIA

KLABU ya Soka ya Al-Ahli kutoka Saudi Arabia leo Jumapili Septemba 25, 2022 imemtangaza Pitso Mosimane kuwa Kocha Mkuu wa Klabu hiyo. Kabla ya Mosimane kujiunga na klabu hiyo alikuwa akiitumikia Klabu ya Al Ahly ya Misri. Al-Ahli inashiriki Ligi Daraja la pili nchini Saudi Arabia baada ya kushuka daraja msimu uliopita wa 2021/ 2022….

Read More

MGUNDA; TUPO TAYARI KUIKABILI MALINDA

 JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo dhidi ya Malindi, Uwanja wa Amaan. Simba imealikwa kwenye mashindano maalumu Visiwani Zanzibar na leo itacheza mchezo wa kwanza wa kirafiki dhidi ya Malindi. Jana Septemba 24 kikosi hicho kilifanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya kujiandaa na mchezo…

Read More