YANGA NGOMA MPAKA ROBO FAINALI CAF

UONGOZI wa Yanga umewaambia mashabiki kuwa wasiwe na presha ngoma itapigwa mpaka hatua ya robo fainali kwenye Kombe la Shirikisho Afrika. Yanga ipo nafasi ya pili kwenye hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa imekusanya pointi nne kibindoni baada ya kucheza mechi tatu. Kwenye mchezo dhidi Real Bamako uliochezwa Uwanja wa US du 26…

Read More

EL CLASICO NI CLASSIC

LEO Alhamisi kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu wenye uwezo wa kuingiza mashabiki 81,044 kutakuwa na mechi kali ya wapinzani wa jadi nchini Hispania, kati ya Real Madrid na Barcelona, maarufu kama El Clasico. Ndiyo, El Clasico maana yake ni ‘The Classic’, ikimaanisha mechi kati ya Madrid na Barcelona ni bora. Hii ni mechi ya watani…

Read More

MASHABIKI MNASTAHILI PONGEZI,WACHEZAJI KAZI IPO

MUHIMU sana kuwapa pongezi mashabiki kwa namna wanavyojitokeza kwenye mechi za kimatafa ambazo wawakilishi wa Tanzania wanatupa kete pale Uwanja wa Mkapa. Huzuni na furaha huwa zinaishi kwenye mioyo yao hivyo wanastahili pongezi kutokana na kujitoa kwao kila wakati hakika ni moyo mzuri na unapaswa kuendelea. Tuliona wakati Yanga wakishinda dhidi ya TP Mazembe wengi…

Read More

MITAMBO YA KAZI SINGIDA BIG STARS KAMILI GADO

HALI ya nyota wa Singida Big Stars, Bruno Gomez inazidi kurejea taratibu kwenye ubora wake baada ya kupata maumivu hivi karibuni. Nyota huyo ambaye ni mtaalamu wa mapigo huru akiwa amewapa tabu makipa waliopo ndani ya tatu bora ikiwa ni Azam FC na Simba alipata maumivu ya miguu kwenye mazoezi. Mbali na Bruno raia wa…

Read More

MASHINE MPYA YA KAZI YATUA YANGA

WAWAKILISHI kwenye anga za kimataifa katika Kombe la Shirikisho Yanga Machi Mosi wamemtambulisha Khalil Ben Yousef raia wa Tunisia ambaye ni mtaalamu wa kusoma mipango ya timu pinzani na mifumo yao pamoja na viwango vya wachezaji wa Yanga. Mtaalam huyo amewahi kufanya kazi katika timu kubwa kama Esparence de Tunis na Timu ya Taifa Tunisia…

Read More

KIMATAIFA YANGA KUJA NA DOZI YAKIPEKEE

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa ushindi ambao waliupata dhidi ya TP Mazembe Uwanja wa Mkapaule ulikuwa ni kionjo. Kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi Yanga ilishinda mabao 3-1 huku watupiaji wakiwa ni Kennedy Musonda, Mudhathir Yahya na Tuisila Kisinda. Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema kuwa propaganda ambazo zinasemwa kuhusu…

Read More

KAZI YA VIGONGO VYA YANGA MACHI

NI Machi Mosi 2023 ikiwa ni ukurasa mwingine ambao unaanza kufunguliwa kwa sasa. Yanga wao wana kazi kwenye anga la kitaifa na kimataifa na wana vigongo vya kucheza kusaka ushindi. Hivi hapa vigongo vya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Nasreddine Nabi ndani ya Machi zipo namna hii:- Yanga v Prisons Machi 3 huu ni mchezo…

Read More

VIGONGO VYA SIMBA MACHI HIVI HAPA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika Simba wakiwa hatua ya makundi wana kazi kubwamwezi huu mpya. Hivi hapa vigongo vya Simba ndani ya Machi kwenye mechi za mashindano kitaifa na kimataifa namna hii:- Machi 2, Uwanja wa Uhuru ni Simba v African Sports mchezo wa hatua ya 16 bora…

Read More

YANGA WANAPIGA HESABU ZA ROBO FAINALI

NYOTA wa Yanga Fiston Mayele ameweka waz kuwa watapambana kufanya vizuri kwenye mechi zijazo za kimataifa ili kufikia malengo yao. Timu hiyo Jumanne Februari 28 ilirejea Bongo ikitokea Mali ilipokuwa na mchezo wa Kimataifa wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Real Bamako. Kwenye mchezo huo ubao ulisoma Real Bamako 1-1 Yanga na kuwafanya wagawane pointi…

Read More

SIMBA KWENYE KIBARUA KINGINE UHURU

MACHI 2 2023 kikosi cha Simba kina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya African Sports. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Uhuru kwa kuwa Uwanja wa Mkapa unafanyiwa maboresha na utatumika kwa mechi za kimataifa. Simba inaingia kwenye mchezo huo ikiwa inakumbuka kwamba ilitinga hatua hiyo kwa ushindi wa…

Read More