BEKI MTIBWA SUGAR KUPUMZISHWA SHINYANGA

IDDY Mobby aliyekuwa beki wa Mtibwa Sugar baada ya kutangulia mbele za haki mwili wake umepelekwa leo Machi 6,2023 nyumbani kwao mkoani Shinyanga. Maziko yanatarajiwa kufanyika kesho Machi 07, 2023. Beki huyo ambaye amewahi kucheza Polisi Tanzania alipokuwa ni nahodha taarifa za kutangulia mbele za haki zilitolewa Machi 5. Alikutwa na umauti alipokuwa akipatiwa matibabu….

Read More

SIMBA:VIPERS HATOKI SALAMA KWA MKAPA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa mashabiki ni muhimu kwenye mchezo wao dhidi ya Vipers ambao ni Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba ina kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Vipers unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally amesema kuwa kila mtu atatimiza wajibu wake kupata ushindi…

Read More

YACOUBA ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA

NYOTA Yacouba Songne amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Februari ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara. Yacouba kwa sasa yupo ndani ya Ihefu ambapo aliibuka hapo akitokea kikosi cha Yanga ambapo alisitisha mkataba wake. Ni Meddie Kagere wa Singida Big Stars na Elias Maguli wa Geita Gold hawa alikuwa nao kwenye fainali wakishindania tuzo hiyo….

Read More

WIKI YATIMIA KWA MANCHESTER UNITED

LIVERPOOL hawakuwa na huruma kwenye mchezo wa Ligi Kuu England baada ya kushinda jumla ya mabao 7 huku wakisepa na pointi tatu mazima. Ni Cody Gakpo alitupia kambani mabao mawili dakika ya 43 na 50, Darwin Nunez pia alitupia kambani mbili dakika ya 47 na 75. Mohamed Salah alitupia mawili dakika ya 66 na 83…

Read More

TANZANIA:NYOTA MTIBWA SUGAR ATANGULIA MBELE ZA HAKI

TAARIFA za awali zinaeleza kuwa nyota wa wa Mtibwa Sugar yenye maskani yake Morogoro, Iddy Mobby ametangulia mbele za haki. Mobby amekamilisha mwendo akiwa kwenye matibabu kwenye Hospital ya Mkapa iliyopo mkoani Dodoma alipohamishiwa baada ya matibabu ya awali kwenye Hospital ya kiwanda. Inaarifiwa kwa mujibu wa watu wa karibu na Mtibwa ni kuwa beki…

Read More

AZAM FC KWENYE KAZI DHIDI YA MAPINDUZI

AZAM FC leo ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa 16 bora ASFC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex. Itakuwa ni dhidi ya Mapinduzi saa 1:00 usiku ambapo mshindi atatinga hatua ya rob fainali. Miongoni mwa wachezaji ambao wapo tayari kwa mchezo huo ni pamoja na Abdul Suleiman, ‘Sopu’, Prince Dube,Sospeter Bajana. Kwa mujibu…

Read More

HUYU HAPA KOCHA MPYA STARS

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limemtangaza Adel Amrouche kuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa, Taifa Stars. Amrouche ni raia wa Ubelgiji mwenye asili ya Algeria, ana uzoefu mkubwa wa soka la Afrika. Amewahi kufundisha ukanda wa Afrika Mashariki ikiwa ni pamoja na Kenya pamoja na Ukanda wa Kusini Mashariki, Kati na Kaskazini. Amewahi kuwa…

Read More

KMC MAJANGA, MTIBWA IHEFU ZAPETA

WAKIWA Uwanja wa Manungu, Mtibwa Sugar wamekata tiketi ya kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Azam Sports Federation. Ni ushindi wa bao 1-0 ambao walipata huku mtupiaji akiwa ni David Kameta, ‘Duchu’ dakika ya 45 kwa mkwaju wa penalti uliowandoa mazima KMC kwenye mashindano. KMC hawana bahati pia kwenye mashindano haya kwa kuwa…

Read More

NAMUNGO WAIVUTIA KASI TANZANIA PRISONS

KIKOSI cha Namungo kwa sasa kipo kwenye maandalizi ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons. Mchezo huo ni wa mzunguko wa pili unatarajiwa kuchezwa Machi 11, Uwanja wa Majaliwa, Lindi. Wachezaji wa timu hiyo wanaendelea na mazoezi kuikaili Prisons yeye maskani yake Mbeya. Miongoni mwa mastaa hao ni pamoja na Shiza…

Read More

ARSENAL WASEPA NA POINTI TATU KIBABE

LICHA ya Bournermouth kuanza kwa kasi kuliandama lango la Arsenal na kupata mabao ya kuongoza kila kipindi. Bao la mapema lilifungwa dakika ya kwanza na Philip Billing na bao la pili lilifungwa na Marcus Senesi dakika ya 51. Mwisho ubao ulisoma Arsenal 3-2 Bournemouth ambapo ni mabao ya Thomes Partey dakika ya 62, Ben White…

Read More

DHAHABU IMEANZA KUPATA MOTO, KAZI IPO JUMANNE

KILE chumba cha mafanikio kilichokuwa kina giza totoro mwanzo mwisho angalau sasa mwanga umeanza kupenya huku ile dhahabu ikianza kupata moto. Ni wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika walifanikiwa kupata ushindi ugenini baada ya ubao kusoma Vipers 0-1 Simba, Februari 25,2023 Uwanja wa St Mary’s, hapa tunakuletea kazi ilivyokuwa namna hii:- Aishi Manula…

Read More

MASTAA HAWA WAKALI WA MIPIRA MIREFU

MABEKI wawili kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Bara wanaongoza kwa pasi ndefu za uhakika kwenye mechi za ligi. Nyota hawa wamekuwa wakifanya hivyo kwenye mechi ambazo wanacheza jambo ambalo linaongeza nguvu kwa timu hizo kufanya mashambulizi kuanzia nyuma kwenda mbele. Pia wamekuwa wakiweka uimara kwenye lango lao ndani ya dakika 90 kwenye kutimiza majukumu…

Read More