
Sports


KOCHA MPYA AZAM FC ASAINI MIAKA MITATU
OMAR Abdikarim Nasser amesaini dili la miaka mitatu kuwa Kocha Msaidizi mpya wa Klabu ya Azam FC inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Januari 29 alitambulishwa rasmi kuwa ni mali ya timu hiyo inayotumia Uwanja wa Azam Complex kwa mechi zao za nyumbani. Kwa mujibu wa Azam FC wamebainisha kwamba ujio wake ni pendekezo la Kocha…

MUGALU NA BOCCO WATOA GUNDU SIKU YA 193
JANUARI 28 mastaa wawili wa Simba ambao ni washambuliaji, John Bocco na Chris Mugalu walitoa gundu ya kutofunga kwa muda mrefu kwenye ligi kwa kuweza kufunga kwenye mazoezi. Ilikuwa ni siku yao ya 193 ya kuweza kucheza bila kufunga baada ya kuweza kutupia mara ya mwisho Julai 18,2021 katika mchezo wa ligi dhidi ya Namungo…

YANGA KUPELEKWA MANUNGU
OFISA Habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru ameweka wazi kwamba hawafikirii kuacha kuutumia Uwanja wa Manungu kwa wakati huu kwenye mechi za Ligi Kuu Bara ambazo zipo mbele yao ikiwa ni pamoja na ile dhidi ya Yanga. Kifaru amesema kuwa uwekezaji ambao wameufanya unawapa nguvu ya kutumia uwanja wao bora ambao upo kwenye viunga vya…

MASTAA SIMBA WAPIGISHWA TIZI KWENYE JUA KALI KINOMA
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba Ijumaa aliwafanyisha mazoezi wachezaji wake mchana wa jua kali ikiwa ni maandalizi ya mchezo wao wa Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) dhidi ya Dar City unaotarajiwa kuchezwa leo Jumapili, Uwanja wa Mkapa. Kocha huyo sambamba na msaidizi wake, Selemani Matola waliwafanyisha mazoezi hayo mida ya saa nane…

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili.

YANGA HAO 16 BORA,MAYELE ATUPIA
NYOTA Fiston Mayele wa Yanga kipindi cha pili ameweza kupachika bao la ushindi katika mchezo wa Kombe la Shirikisho uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Bao hilo la Mayele lilipachikwa dakika ya 53 akiwa ndani ya 18 na kuwafanya mashabiki wa Yanga kunyanyuka jukwaani baada ya kuifunga Mbao FC. Ushindi huo unaifanya Yanga kutimga hatua ya…

DAKIKA 45,KIRUMBA,YANGA 0-0 MBAO FC
UWANJA wa CCM Kirumba, milango bado ni migumu kwa timu zote mbili katika mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya 32 bora. Ni Yanga ambayo ulitinga hatua ya fainali na Mbao FC ya Mwanza ambayo inashiriki First League. Kipa Aboutwalib Mshery dakika ya 44 aliweza kufuta makosa yake kutokana kurudishiwa mpira na mchezaji wa Yanga….

ADAMA AREJEA NYUMBANI KWA MARA NYINGINE
NYOTA wa Wolves, Adama Traore amejiunga na Barcelona kwa mkopo hadi mwishoni mwa msimu huu kuitumikia timu hiyo. Nyota huyo alikuwa amewekwa kwenye hesabu na Kocha Mkuu wa Spurs, Antonio Conte hivyo kuibuka kwake ndani ya Barcelona maana yake ni kwamba imekula kwake sasa. Conte aliweka wazi kwamba anataka kuboresha kikosi chake lakini Spurs inaingia…

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA MBAO FC
LEO Januari 29 Yanga itakuwa kwenye kazi ya kusaka ushindi mbele ya Mbao FC ambayo nayo pia inaska ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya 32 bora, Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Hiki hapa kikosi cha Yanga kinachotarajiwa kuanza mchezo unatarajiwa kuchezwa saa 10:00 jioni:- Mshery Aboutwalib Paul Godfrey Yassin Bakari Mwamnyeto Dickson…

ISHU YA CHAMA KUSHUKA KIWANGO IPO HIVI
LICHA ya baadhi ya mashabiki wa soka kuonyesha kutoridhishwa na kiwango cha kiungo, Clatous Chama kwenye mchezo ambao Simba ilikubali kipigo cha bao 1-0 ugenini dhidi ya Kagera, kiungo fundi wa zamani wa Simba, Mtemi Ramadhan amekuwa tofauti na kiwango alichokionyesha Chama kwenye mchezo huo. Chama amerejea Simba msimu huu wa usajili wa dirisha dogo…

ADHABU KUMUHUSU MCHEZAJI WA YANGA ATAKAYEZUNGUMZIA SIMBA
KOCHA Mkuu wa Kikosi cha Yanga, Mohamed Nabi amesema amewapiga marufuku wachezaji na benchi la ufundi la timu hiyo kuzungumzia matokeo mabovu ya mahasimu wao Simba ambayo wamekuwa wakiyapata katika mechi zao za hivi karibuni na badala yake wajikite katika michezo yao na kuhakikisha wanashinda. “Nimewaambia wachezaji sitaki kusikia hata wanazungumza ishu za Simba kwani…

VIDEO:KOCHA WA SIMBA PABLO AFUNGUKA KUHUSU KUSHINDWA KUPATA USHINDI
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wameshindwa kupata ushindi kwenye mechi zao ambazo wamecheza kutokana na kushindwa kuzitumia nafasi ambazo wamezipata na wanamatumaini makubwa ya kufanya vizuri kwenye mechi zao zijazo. Simba imeshindwa kupata ushindi kwenye mechi tatu ambapo ilikuwa mbele ya Mbeya City ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 mbele ya Mtibwa Sugar…

YANGA WAPIGA HESABU ZA USHINDI MBELE YA MBAO
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba unawaheshimu wapinzani wao Mbao ambao watacheza nao leo kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya 32 bora lakini watawafunga. Mkurugenzi wa Mashindano ndani ya Yanga, Thabit Kandoro amesema kuwa wanatambua kwamba wana mchezo mgumu ila wanahitaji ushindi. “Baada ya droo kuchezwa tulijua kwamba tuna kazi ya kufanya mbele…

RUNGU LILILOWAKUTA WAAMUZI NA DJUMA ACHA KABISA
NYOTA wa Yanga, Djuma Shaban amefungiwa mechi tatu na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa Polisi Tanzania. Mbali na kufungiwa mechi tatu pia ametozwa faini ya shilingi milioni moja kwa kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa Polisi Tanzania. Mchezaji ambaye alionekana akipigwa kiwiko kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja…

PABLO AKUTANA NA KITU KIZITO KUTOKA BODI YA LIGI
BODI ya Ligi ya Soka Tanzania Bara imempiga faini ya Tsh milioni 3.5, Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Martin Franco kutokana na makosa mbalimbali ya utovu wa nidhamu likiwemo la kupiga teke kiti kwenye mechi dhidi ya Mtibwa Sugar ya mkoani Morogoro. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Manungu na dakika 90 zilikamilika kwa ubao kusoma…

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumamosi, Januari 29,2022