NYOTA MPYA YANGA AOMBA JEZI NAMBA 7

LAZAROUS Kambole mshambuliaji mpya ndani ya kikosi cha Yanga amesema kuwa anapenda kutumia jezi namba 7 kwa msimu mpya wa 2022/23. Raia huyo wa Zambia amesaini dili jipya ndani ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Alitambulishwa ndani ya kikosi hicho Juni 16,2022 ikiwa ni siku moja baada ya Yanga kutwaa ubingwa wa 28…

Read More

MAKOCHA HAWA WAINGIA RADA ZA SIMBA

TARIK Sektioui ambaye aliwahi kuifundisha RS Berkane ya Morocco ni raia pia wa Morocco anatajwa kuwa kwenye mazungumzo na Simba. Kocha huyu anatajwa kuwa miongoni mwa warithi wa Pablo Franco ambaye alifutwa kazi baada ya kupoteza mchezo wa Kombe la Shirikisho mbele ya Yanga. Kwa sasa timu hiyo ipo chini ya Kaimu Kocha Mkuu ambaye…

Read More

PASI ZA BWALYA SIMBA KAMA DAKIKA ZAKE

RALLY Bwalya, mchezo wake wa kuagwa na mabosi zake Simba ilikuwa mbele ya KMC alitumia dk 88 na alipiga pasi 88 kati ya hizo mbili hazikuwafikia walengwa na muelekeo wake ulikuwa ni kwa Pape Sakho. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Mkapa, Juni 19 na Simba iliweza kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 ambapo watupiaji walikuwa…

Read More

AZIZ KI KUTAMBULISHWA YANGA

KAMA ulikuwa huamini, basi taarifa ikufikie kwamba, Yanga imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Stephane Aziz Ki na siku ya kutua nchini imetajwa. Ipo hivi, mchezaji huyo kwa taarifa za uhakika ambazo imezipata Spoti Xtra, ataingia nchini mapema ndani ya wiki ambayo inaanza kesho Jumatatu kwa ajili ya kumalizana kila…

Read More

KIPA WA ZAMANI AMUONDOA KAKOLANYA SIMBA

KOCHA wa Makipa na nyota wa zamani wa Sigara, Mtibwa Sugar na Yanga, Peter Manyika amewaangalia makipa wa sasa wa Simba, kisha kumchomoa Beno Kakolanya katika kikosi hicho, ili atafute maisha mengine kama anahitaji kulinda kiwango chake. Ubora wa Kakolanya ulionekana katika mchezo wa Simba dhidi ya Yanga akiwa katika lango la Wanajangani na aliweza…

Read More

KOCHA AFUNGUKIA KASI YA MPOLE

FELIX Minziro, Kocha Mkuu wa Geita Gold amesema kuwa bado anaamini kwamba mshambuliaji wake George Mpole ataendelea kutimiza majukumu yake ya kufunga pale anapopata nafasi. Mpole ni namba moja kwa utupiaji kwa wazawa akiwa na mabao 15 na pasi tatu za mabao ndani ya ligi huku Fiston Mayele wa Yanga akiwa ni kinara wa utupiaji…

Read More

NAMNA MAYELE ALIVYOIVUNJA REKODI YA BOCCO

FISTON Mayele, mshambuliaji namba moja ndani ya kikosi cha Yanga amevunja rekodi ya staa wa Simba, John Bocco kwenye suala la ufungaji na pasi za mabao. Bocco msimu wa 2020/21 aliweza kutupia mabao 16 na pasi mbili na aliweza kuibuka mfungaji bora ambaye anatetea kiatu chake hicho. Msimu huu Bocco kafunga mabao matatu na hajatoa…

Read More

BWALYA AWEKA WAZI KWAMBA AMEJIFUNZA MENGI SIMBA

RALLY Bwalya kiungo wa Simba amesema kuwa miaka miwili aliyodumu hapo amejifunza mengi kwa kuwa amefanya kazi kwa ushirikiano mkubwa. Jana Bwalya alicheza mchezo maalumu wa ligi na kuagwa kwa heshima na wachezaji pamoja na mashabiki wa timu hiyo ambayo ipo chini ya Seleman Matola ambaye ni Kaimu Kocha Mkuu wa timu hiyo. Kwenye mchezo…

Read More

VIDEO:FEI TOTO AMTAJA SAMATTA NA KIBA

KIUNGO wa Yanga,Feisal Salum ameweka wazi kuwa matamasha ya NIFUATE ni mazuri na amewaomba mashabiki waendelee kujitokeza kwa wingi ili kuweza kutoa msaada kwa wengine hiyo ilikuwa ni kwenye mchezo wa Team Kiba na Team Samatta ambapo yeye alikuwa ni kwa upande wa Team Kiba na amemtaja Kiba kuwa mmoja ya wachezaji ambao walifanya vizuri

Read More

SIMBA WAJIVUNIA KUMLETA AZIZ KI BONGO

UONGOZI wa Simba umesema kuwa hauna hofu hata kama wakimkosa kiungo mshambuliaji wa ASEC Mimosas, Stephane Aziz Ki kwani wapo wachezaji bora na wazuri wengine katika timu hiyo. Simba wamejipongeza kwa kuwaleta wachezaji wazuri Bongo ikiwa ni pamoja na Aziz KI kwenye mechi za Kombe la Shirikisho, Uwanja wa Mkapa. Hiyo ikiwa ni siku chache…

Read More

SIMON MSUVA ATAJWA KUINGIA RADA ZA YANGA

IMEELEZWA kuwa nyota wa zamani wa kikosi cha Yanga, Simon Msuva yupo kwenye hesabu za mabosi wa Yanga ambao wanahitaji kumuongeza ndani ya kikosi hicho. Msuva ni winga wa kimataifa ambaye yupo Tanzania kwa sasa baada ya kuweza kutokwenda sawa na mabosi wake Wydad Casablanca ya Morocco na suala lao lipo Fifa. Nyota huyo amekuwa…

Read More

KOCHA HUYU ATAJWA KUBEBA MIKOBA YA PABLO

IMEELEZWA kuwa jina la Josef Vukusic ambaye amewahi kuinoa Klabu ya Polokwane na Amazulu za Afrika Kusini ambaye aliletwa duniani Agosti 3,1964 akiwa na miaka 57 anatajwa kuwa miongoni mwa makocha watakaorithi mikoba ya Pablo Franco ndani ya Simba. Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya Simba zimeeleza kuwa kwa sasa mchakato huo umefika hatua nzuri…

Read More

SIMBA YAPINDUA MEZA MBELE YA KMC

KWENYE mchezo wa Ligi Kuu Bara leo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, kikosi cha Simba kimeweza kupindua meza mbele ya KMC. Pia mchezo wa leo ambao ni wa mzunguko wa pili umetumika kwa ajili ya kumuaga mchezaji wao Rally Bwalya ambaye amecheza mechi 19 na kutoa pasi tatu za mabao kuweza kuagwa kwa kuwa amepata timu…

Read More