Saleh
JUVENTUS YAMVUTIA KASI POGBA
KIUNGO mshambuliaji wa Manchester UnitedPaul Pogba inatajwa kwamba anaweza kujiunga na Juventus ambayo imemuwekea mkwanja mrefu kupata saini yake.
Nyota huyo mkataba wake unatarajiwa kumeguka...
SIMBA YABAINISHA SABABU ZA KUMCHIMBISHA PABLO
MABOSI Simba wameweka wazi kwamba kushindwa kutimiza yale aliyosaini kwenye mkataba ni sababu iliyofanya kufutwa kazi kwa Pablo Franco aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba.
Mei...
KAMBOLE AINGIA ANGA ZA YANGA
IMEELEZWA kuwa Lazarous Kambole anayekipiga ndani ya Klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini yupo kwenye hesabu za mabosi wa Yanga.
Huyo ni mshambuliaji wa...
SHIME:CAMEROON WAGUMU,LAKINI TUTASHINDA
BAKARI Shime, Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa za Wanawake Tanzania,amesema kuwa mchezo wa marudiano baina yao dhidi ya Timu ya Taifa ya Wasichana...
MWENDO WA BIASHARA UNITED NA MBEYA KWANZA UNA JAMBO LAO
KAZI haiwezi kuwa nyepesi kwa kuwa lazima mapambano yawe makubwa katika kufanya hilo jambo ambalo unalihitaji kwa wakati.
Kila mmoja kwenye Ligi Kuu Bara kwa...
TAIFA STARS KUVAA NIGER LEO
KIM Poulsen, Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo wa kuwania kufuzu AFCON...
KUNA WINGA YANGA ALITISHIWA KUROGWA
MJUE winga ambaye alitishiwa kurogwa ndani ya Yanga kisa Simba, yote haya ni ndani ya Championi Jumamosi.
MKALI WA PASI NDANI YA SIMBA KUTIMKIA AFRIKA KUSINI
IMEELEZWA kuwa kiungo namba moja kwa kutengeneza pasi za mwisho ndani ya Simba msimu wa 2021/22 Rally Bwalya yupo kwenye hesabu za timu moja...
LEBRON JAMES AWA MCHEZAJI WA KWANZA BILIONEA AKICHEZA LIGI YA NBA
LeBron James– Nyota mara 18 wa mpira wa vikapu nchini Marekani NBA na bingwa mara 4 wa NBA, mbali na kuwa mshindi wa medali...
THIAGO AAMBIWA KWAMBA HAMNA KITU
GWIJI wa Liverpool, Dietmar Hamann amemshukia kiungo Thiago Alcantra akiweka wazi kuwa ni moja ya wachezaji wa Ulaya wanaopewa sifa kubwa tofauti na uwezo...
VIDEO: MAMBO NI MOTO YANGA, WATANGAZA UCHAGUZI MKUU KUMPATA RAIS NA...
VIONGOZI wa Yanga SC leo Juni 03, wamezungumza na wanahabari kuhusiana na uchaguzi wao mkuu wa viongozi utakaofanyika hivi karibuni.
MAKOCHA WAIGOMBEA SIMBA, CV ZA KUTOSHA ZATUMWA MSIMBAZI
MARA baada ya Simba SC kutangaza kuachana na kocha, Pablo Franco Martin, tayari baadhi ya makocha wameanza kuomba nafasi ya kufanya kazi ndani ya...
HOROYA AC, RAJA CASABLANCA ZAMGOMBEA PABLO
HOROYA AC ya Guinea, imeweka ofa nzuri kumpata aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco raia wa Hispania ambaye alisitishiwa mkataba wake hivi karibuni.
Mara...
JUMA MGUNDA NA KASI YAKE MEI NI MOTO
KASI ya Coastal Union ndani ya Mei inafurahisha kwa kuwa kwenye mechi 5 ambazo wamecheza hawajapoteza mchezo wakishinda nne na kuambulia sare moja ugenini.
Juma...
POLISI TANZANIA KUWEKA KAMBI DAR
KUTOKANA na kuwa na malengo ya kuhitaji kumaliza ndani ya nne bora, mabosi wa Polisi Tanzania wanafikiria kuweka kambi Dar ili kuweza kufanya maandalizi...
ORODHA YA MASTAA 14 WATAKAOPIGWA PANGA YANGA
MASTAA 14 ndani ya kikosi cha Yanga, wapo kwenye hesabu za kufyekwa kwa ajili ya kukiboresha kikosi hicho kuelekea msimu ujao wa 2022/23.
Msemaji wa...
STARS YAWASILI BENINI,YABEBA MATUMAINI
KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars jana jioni Alhamisi ya Juni 2 kilikwea pipa kuelekea nchini Benini kwa ajili ya maandalizi...