September 29, 2024
YANGA, SIMBA MZIGONI LEO LIGI KUU
LIGI Kuu ya kabumbu Tanzania bara inaendelea tena leo Septemba 29 kwa mechi nne kwenye viwanja mbalimbali ambapo Mnyama, Simba Sc akiwa ugenini kwenye mashamba ya mizabibu wakiikabili Dodoma Jiji Fc. Mchezo huo wa raundi ya nne wa Ligi hiyo utapigwa katika dimba la Jamhuri Dodoma mishale ya saa 12:30 jioni huku Mnyama akiangazia kuendelea…
JUMAPILI YA KUWA TAJIRI NI LEO, MECHI ZA KIBABE, JISAJILI HAPA
Hatimaye mabingwa wa ODDS KUBWA Tanzania Meridianbet wanasema hivi leo hii unaweza kutusua haswa na endapo utabashiri mechi zako hapa kwani pia kuna machaguo uyatakayo wewe. LIGUE 1 kule Ufaransa kama kawaida kuna mitanange ya kutosha Angers atamkaribisha Stade Reims ambapo mechi ya mwisho kukutana walitoa sare. Meridianbet wamempa mgeni nafasi ya kushinda leo kwa…
SHINDA KITITA CHA MAANA KWA KUCHEZA BEACH PENALTIES KASINO
Mamilioni yapo ya kutosha leo na yapo tayari kunyakuliwa endapo utacheza mchezo wa Kasino wa Beach Penalties ambao unaendelea kutoa mamilionea wa kutosha kila uchwao. Jumapili yako inapaswa kua ya kibingwa na ya ushindi kwa kuhakikisha unatembelea tovuti ya Meridianbet na upige zako penalty tano za ushindi uweze kuondoka na mkwanja wa kutosha. Kumekua na…